About

Friday, May 25, 2012

ALICHOSEMA WILL SMITH KUHUSU MWANAUME ALIETAKA KUMBUSU.

Mwigizaji Will Smith amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kumsukuma mwandishi wa habari wa  kiume alietaka kumbusu kwenye Red Carpet huko Moscow wakati mwigizaji huyo alipokwenda kuitambulisha movie yake mpya ya MEN IN BLACK 3.
Mwandishi huyo alifika na kumwambia Will Smith kwamba yeye ni shabiki yake mkubwa hivyo akaomba kumkumbatia na baadae akataka kumpiga busu ndipo Will Smith alipokasirika na kumsukuma kwa hasira.
Alichosema Will Smith ni kwamba waandishi wenzake na huyo jamaa walimuomba msamaha na kusema kwamba jamaa huwa ni mchekeshaji labda alifanya hivyo kwa nia ya kuchekesha na hakua na maana mbaya.
Hivi ndivyo ilivyokua wakati mwandishi huyo alipotaka kumbusu Will Smith.

Facebook comments brought to you by bongo6