Baadhi ya wagonjwa waliopo kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili wakisubiri huduma katika Kitengo cha Mifupa (MOI), huku wakiwa hawajui hatma yao baada ya madaktari kuanza mgomo wao kwa mara nyingine tena leo. (Picha na Francis Dande)
Facebook comments brought to you by bongo6